PICHA: DIAMOND AKIWA KATIKA HARUSI YA PETER WA P-SQUARE, NIGERIA.
![]() |
Msanii Diamondi akiwa na bwana harusi - Peter wa P-Square siku ya harusi. |
Peter wa P-Square amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu "Lola Omatayo" ambaye pia ni mama wa mtoto wake.
![]() |
Peter akiwa na mkewe Lola. |
Huu ndio ukumbi ambao harusi hiyo ya Peter wa P-Square ilipofanyika huko Nigeria.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA