VIDEO: MAAJABU, AKAANGA KUKU KWENYE MAFUTA YA MOTO KWA KUTUMIA MIKONO YAKE.
Inasemekana kuwa jama huyu alianza shughuli hii ya kukaanga kuku kwa kutumia mikono baada ya kumwagikiwa mafuta ya moto na kutodhulika na mafuta hayo. Hivyo kupitia maajabu haya bwana Kann amepewa jina la "Superhand" yani mikono imara. Tazama video yake hapa..

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA