Header Ads

Breaking News
recent

ALAINE, NI MSANII KUTOKA JAMAICA ATAKAYE SHIRIKI KATIKA FAINALI ZA SERENGETI FIESTA 2013.

Alaine ni msanii wa pili wa kimataifa atakaye shiriki katika fainali zitakazofanyika katika viwanja vya Leaders Club - jijini Dar es salaam siku ya Jumamosi ya tarehe 26 yani Jumamosi ijayo. Tazama sasa video ya mwanadada Alaine ambayo imesumbua sana katika uwanja wa Reggae..

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.