Header Ads

Breaking News
recent

ITV HABARI: MFANYA BIASHARA AWAGONGA NA GARI WATU SITA.

Watu sita wamejeruhiwa vibaya ikiwemo kuvunjika baadhi ya sehemu mbalimbali za mwili huku mmoja wao akiwa amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili baada mfanyabiashara kuwagonga kwa gari huko Bahari beach.

Source: ITV TANZANIA

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.