Mwana Hip Hop JCB kutoka katika kundi la Watengwa kutoka Kijenge Juu Arusha, akiwa na mwanae Albert ndani ya studio za Clouds Radio.
JCB akiwa amembeba mwanae akiwa na mtangazaji wa kituo cha radio cha EAST AFRICA - "Kenedy The Remedy"
PICHA - JCB AKIWA NA MWANAE "ALBERT" PAMOJA NA MTANGAZAJI WA EAST AFRICA RADIO "KENEDY THE REMEDY" NDANI YA DAR ES SALAAM.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Tuesday, April 16, 2013
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA