MASTAA KIBAO WA BONGO WAMIMINIKA KATIKA BIRTHDAY YA LADYNAA.
Ladynaa mwenyewe akiwa ameshikilia bonge la keki iliyokuwa imeaandaliwa kwaajili ya birthday yake.
Yussuf Mlela akiwa na Ladynaa katika red carpet ya birthday yake.
BIRTHDAY ya aliyewahi kuwa mtangazaji wa EATV katika kipindi cha Friday
Night Live, Ladnaa, ilifana vya kutosha jana ilipofanyika ndani ya Viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam, na kuhudhuriwa na mastaa kibao.
Habari/Picha: Musa Mateja/GPL
Global Publishers
Jacqueline Wolper (kushoto), akimlisha keki Ladnaa kwenye
Bethidei yake.
Beny Kinyaia akiwa na Ladynaa
Nay wa Mitego kama anavyoonekana na mtoto Ladynaa
Mama mzazi wa msanii Diamond (kushoto) akilishwa keki na Ladynaa.
![]() |
Steve Nyerere akilishwa keki na Ladynaa. |
Habari/Picha: Musa Mateja/GPL
Global Publishers
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA