Header Ads

Breaking News
recent

JENGO LENYE ZAIDI YA GHOROFA 12 LADONDOKA JIJINI DAR ES SALAA. (BREAKING NEWS)


 
Jengo lililokua bado linaendelea kujengwa katika makutano ya barabara ya Indra Gadhi na morogoro lenye ghorofa zaidi ya 12 limedondoka wakati likendelea na ujenzi na kuangukia msikiti ambao unasadikiwa kuwa na madrassa ambayo kulikua na wanafunzi ndani wakati wa tukio!! Chanzo cha habari "Clouds FM" imeendelea kuripoti kua inawezekana zaidi ya watu 60 wamefunikwa na jengo hilo!!! Nitaendelea kukupa taarifa nitakavyokua nikizipokea!!

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.