MSANII WA TMK WANAUME HALISI (BK) AFARIKI DUNIA.
Msanii wa kundi la Wanaume Family anayejulikana kwa jina la BK
amefariki dunia leo katika hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya
tumbo.
Akiongea na East Africa Radio
Rich One kutoka Temeke alisema msanii huyo amekuwa akisumbuliwa na
maradhi hayo tumbo kwa mda na alilazwa katika hospital tofauti kabla
hajapelekwa muhimbili ambako mauti yamemkuta.
Endelea kusikiliza East Africa Radio kwa habari zaidi.
MSANII WA TMK WANAUME HALISI (BK) AFARIKI DUNIA.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Wednesday, February 13, 2013
Rating: 5
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Wednesday, February 13, 2013
Rating: 5

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA