"WILHELM GIDABUDAY" (AUDIO) PRESS CONFERENCE ARUSHA TANZANIA. MSIKILIZE MWANAHARAKATI WA MICHEZO TANZANIA WAKATI AKIZUNGUMZA NA VYOMBO VYA HABARI JIJINI ARUSHA.
Mwanariadha wa zamani na maarufu katika kuitanganza Tanzania katika masikio na macho ya mashabiki wa riadha duniani, maarufu kama WILHELM GIDABUDAY, wakati akizungumza na vyombo vya habari jijini Arusha.
Gidabuday amesema kuwa lengo kuu la press conference hii ni kuwaomba watanzania kujitolea/kuonyesha uzalendo katika harakati alizozianzisha sasa za kuanzisha uchangiaji wa kuanzishwa kituo maalumu cha michezo cha Taifa. Namnukuu maneno haya "progress is a slow process", "huwezi kushinda vita kama huna eneo la kutrain wanajeshi wako" akimaanisha watanzania hatujachelewa kuanzisha kituo cha michezo cha taifa bali tunaweza kuanza sasa na tukafanikiwa, Pia maana ya pili ni hatutaweza kufanya vizuri katika michezo kimataifa bila ya kuwa na kituo maalum cha kufundishia wachezaji wetu.
Kuna maneno mengi mazuri na yakusikitisha aliyozungumzia katika nyanja ya michezo katika AUDIO hio hapo chini. ISIKILIZE NA UCHUKUE HATUA LEO.
ISIKILIZE SAUTI HII YA MWANARIADHA MAARUFU "GIDABIDAY" MWANZO HADI MWISHO ALIYOZUNGUMZA NA VYOMBO MBALI MBALI VYA HABARI JIJINI ARUSHA.
Gidabuday amesema kuwa lengo kuu la press conference hii ni kuwaomba watanzania kujitolea/kuonyesha uzalendo katika harakati alizozianzisha sasa za kuanzisha uchangiaji wa kuanzishwa kituo maalumu cha michezo cha Taifa. Namnukuu maneno haya "progress is a slow process", "huwezi kushinda vita kama huna eneo la kutrain wanajeshi wako" akimaanisha watanzania hatujachelewa kuanzisha kituo cha michezo cha taifa bali tunaweza kuanza sasa na tukafanikiwa, Pia maana ya pili ni hatutaweza kufanya vizuri katika michezo kimataifa bila ya kuwa na kituo maalum cha kufundishia wachezaji wetu.
Kuna maneno mengi mazuri na yakusikitisha aliyozungumzia katika nyanja ya michezo katika AUDIO hio hapo chini. ISIKILIZE NA UCHUKUE HATUA LEO.
ISIKILIZE SAUTI HII YA MWANARIADHA MAARUFU "GIDABIDAY" MWANZO HADI MWISHO ALIYOZUNGUMZA NA VYOMBO MBALI MBALI VYA HABARI JIJINI ARUSHA.
Mwandishi wa Channel 10 (kushoto mwanzo)akichukua tukio zima jijini Arusha.





This is nice, kamanda huyo Gidabuday nimemfuatilia sana na hajawahi kukusea jambo, muda mwingi amekuwa shujaa wangu maana haogopi macho ya yeyote hata awe mkubwa vipi serikalini ama kwa pesa. Anachokisema mimi nimetafiti na ni kweli mtupu.
ReplyDeleteNataka kujua jinsi ya kuchangia hata buku tu, na watanzania wengine wakichangia njiti hapa na pale tutatokelezea ulimwenguni bila wasi.
hizi ni harakati za kuigwa
ReplyDelete