SAJNA FT. BELLE 9 & PIPI - 'ROHO MBAYA.
Baada ya kipindi kirefu kupita msanii Faraji Twaha a.k.a Sajna ameamua
kuachia wimbo wake unaoitwa 'ROHO MBAYA' ambao aliurekodi takribani miaka
miwili iliyopita na kuwashirikisha Belle 9 pamoja na mwanadada Pipi.
Kwa mujibu wa Sajna wimbo huu sio official single yake ya mwaka huu lakini ameutoa kuvunja ukimya uliotokana na kubanwa na shule na pia kama zawadi kwa fans wake, wakati anajiandaa kutoa official song yake ya mwaka huu 2013. Roho mbaya pia inapatikana katika album yake ya kwanza inayoitwa Iveta.
Kwa mujibu wa Sajna wimbo huu sio official single yake ya mwaka huu lakini ameutoa kuvunja ukimya uliotokana na kubanwa na shule na pia kama zawadi kwa fans wake, wakati anajiandaa kutoa official song yake ya mwaka huu 2013. Roho mbaya pia inapatikana katika album yake ya kwanza inayoitwa Iveta.

No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA