Filamu mpya ya kibongo aliyoigiza marehemu Sajuki na mkewe Wastara - "Kivuli" kuanzia jana iliingia sokoni rasmi.
'Kivuli' imeandaliwa na kampuni ya Wajay Film Co na kusambazwa na kampuni ya Steps.
'KIVULI' FILAMU ALIYOIGIZA SAJUKI NA WASTARA SASA YATINGA SOKONI.
Reviewed by KISHINDO TZ
on
Saturday, January 19, 2013
Rating: 5
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA