PRECISIONAIR TANZANIA YAZINDUA NDEGE MPYA NAMBA "ATR 42-600"
Hii ndio ndege mpyaa ya PrecisionAir (ATR 42-600) ambayo kwa mara ya kwanza kuruka africa na dunia nzima, imezinduliwa rasmi jana jijini Dar es salaam.
Ndege hii namba ATR 42-600 imeanza safari yake ya kwanza hapa nchini leo, ikielekea Mtwara.
Hapa ni wakati wa uzinduzi wa ndege hiyo (ATR 42-600) jijini Dar es Salaam.
Ndege hii namba ATR 42-600 imeanza safari yake ya kwanza hapa nchini leo, ikielekea Mtwara.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA