Header Ads

Breaking News
recent

PRODUCER 'FUNDI SAMWELI' AWAAGA WATANZANIA KWA MARA YA MWISHO..."AACHA UJUMBE".

Asili Yetu Tanzania.Copyright


 Pichani ni Fundi Samwel akiwa na mkewe Saraha.

Producer kutoka studio inayofahamika kwa jina la usanii record namzungumzia Fundi Samwel.Habari tuliyoipata ni kwamba producer huyu ameenda nchini kwao sweden sababu alizosema ni kwamba ame miss sana familia yake pamoja na watu wake pia ana michakato ya kuunganisha wasanii wa kule na wa huku ili wafanya kazi kwa pamoja.

Fundi samwel akuishia tu hapo kwani alisema kwamba anajua kwamba ameacha project kibao za wasanii hapa Bongo land kwa hiyo atakacho kuwa anafanya producer huyo ni kwamba atakuwa anatumia mtandao wa internet kwa kutuma beat huku bongo land Tanzania halafu wasanii  wa  hapa bongo wanaifanyia kazi.Baada ya hapo Tulimuuliza Je unachukua muda gani kukaa huko swiden.

Kwa mujibu wa Producer Fundi samwel alivyosema kwamba atokaa sana nchini kwao swiden hatakikisha kati ya mwezi wa October atakuwa amesharudi hapa Tanzania kuendelea na kazi yake ya muziki.Hayo ndiyo maneno ya producer Fundi Samwel kutoka Usanii record alifunguka na kuongea hivyo baada ya kwenda nchini kwao Sweden.



"Nataka kukufahamisha kwamba Jumapili hii Ndio Nasepa kabisa.Ukitaka kuwasiliana nikiwa Sweden ni +46707556654.Email yangu ni samwelifundi@gmail.com.Nimefurahai sana wewe na Wabongo wote wamepokea mimi na mziki wangu vizuri.Nitaendelea kutoa ngoma kali kali hapa Bongo maisha yote yangu".

SARAHA - MKE WA FUNDI SAMWEL

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.