Header Ads

Breaking News
recent

P FUNKY WA BONGO RECORDS AMEJIPANGA, ANALETA KITU KIPYAA!!!

Asili Yetu Tanzania.Copyright

P FUNKY - AKIWA BONGO RECORDS.

Produza mkali kutoka Bongo Records P Funky Majani  amesema kuwa 12.12.12 atatoa kitu ambacho kitakuwa ni historia nyingine katika muziki wa Bongofleva.Tayari P Funky ana historia ya kuwa Produza aliyetengeneza hits song za kutosha hapa Bongo na ashafanya kazi karibia na wasanii wote wakubwa wa Tanzania,lakini safari hii anasema kuwa yuko mbioni kumalizia album yake mwenyewe ambayo ameifanya pamoja na Karabani ambaye kwa sasa ni mtayarishaji wa Video.

Fahamu mengi kuhusu producer P FUNKY wa Bongo Records hapa Annapita.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.