MWANDISHI MKONGWE WA IKULU YA MAREKANI "HELEN THOMAS" AFARIKI DUNIA.
![]() |
Mwandishi mkongwe wa Ikulu ya Marekani (white house) Helen Thomas afariki dunia Julai 20/ 2013 baada ya kuugua kwa muda mrefu.Add caption |
![]() | |
Kutokana na kuwa mahiri katika kazi na kwa muda mrefu, Helen alikuwa ni kiongozi katika mikutano ya habari maelezo ya Ikulu ya Marekani, ambapo alikuwa akiwachapa marais maswali moto moto. |
![]() |
Na hapa Helen alikuwa akimuhoji swali rais Ronald Reagan wakati wa habari maelezo katika Ikulu ya Marekani (White House) mnamo March 19,1987. |
Pia bibi huyu alianza kazi ya uandishi ndani ya Ikulu ya Marekani tokea kipindi cha rais John F. Kennedy mwaka 1961 hadi alipostaafu mnamo mwaka 2010.
Kwa mujibu wa CNN, taratibu za mazishi zinaendelea.
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA