Habari zilizoifikia blog ya Asili Yetu Tanzania zinasema kuwa
"Kanisa
katoliki jimbo la Arusha lililopo olasiti linaloitwa MT YOSEPH
MFANYAKAZI limepigwa bomu,na kujeruhi waumini
wengine wengi, ni katika ufunguzi wa kanisa hilo jipya ambalo lilikuwa
linafunguliwa na Balozi wa papa nchini Tz papa Fransinco kadili, hivi
sasa askari wamezunguka eneo hilo!"
Hadi sasa bado taarifa kamili kutoka Jeshi la polisi Arusha bado haijatolewa, endelea kufuuatilia kwa taarifa hiyo zaidi hapa hapa.
Na Mwandishi wetu THOMAS ADAM
No comments:
KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA