Header Ads

Breaking News
recent

BOMU LALIPUKA KATIKA KANISA KATOLIKI LILILOKO OLASITI - ARUSHA.


Habari zilizoifikia blog ya Asili Yetu Tanzania zinasema kuwa "Kanisa katoliki jimbo la Arusha lililopo olasiti linaloitwa MT YOSEPH MFANYAKAZI limepigwa bomu,na kujeruhi waumini wengine wengi, ni katika ufunguzi wa kanisa hilo jipya ambalo lilikuwa linafunguliwa na Balozi wa papa nchini Tz papa Fransinco kadili, hivi sasa askari wamezunguka eneo hilo!"

Hadi sasa bado taarifa kamili kutoka Jeshi la polisi Arusha bado haijatolewa, endelea kufuuatilia kwa taarifa hiyo zaidi hapa hapa.

Na Mwandishi wetu THOMAS ADAM

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.