Header Ads

Breaking News
recent

SWAHILI FASHION WEEK 2012 YAANZA KUSAKA WASHIRIKI

Majaji wakifanya usahili.
Mchakato wa kuanza kwa Swahili Fashion Week 2012 umeanza ambapo wanamitindo wa kike na wa kiume watakaoshiriki katika Swahili Fashion walikuwa wakifanyiwa usahili Golden Tulip ambapo majaji walikuwa muandaji wa Swahili Fashion Week,Martin Kadinda na mtangazaji wa Nirvana ya EATV Deo.

Wanamitindo wakike wakiwa katika usahili.
Wanamitindo wakike wakifanyiwa usahili.
Wanamitindo.
Swahili Fashion Week inatarajiwa kuanza December tarehe 6,7 na 8

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.