Header Ads

Breaking News
recent

PICHA ZA MAPOKEZI YA MWILI WA MSANII "ALBERT MANGWEA" - (LEADERS CLUB)

Baadhi ya picha za mapokezi ya mwili wa marehemu Albert Mangwair, hapa ni mapema wakati wasanii na wadau mbali mbali wakijikusanya maeneo ya Leaders Club mapema leo asubuhi kwa ajili ya kujiandaa kwenda Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa JK Nyerere kwa ajili ya kuupokea mwili wa marehemu Ngwair.MAPOKEZI YA MWILI WA MAREHEMU NGWAIR - (LEADERS CLUB)

Gari maalumu lililobeba mwili wa marehemu, hapa ni kabla haujawasili.
Kila shabiki wa Ngwea alitamani hata kugusa geneza la msanii Albert Mangwea, mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.

Producer P FUNK akiongoza umati wa mashabiki wa Albert Mangwea wakati wa mapokezi ya mwili wake.

Baadhi ya wadau waliofika mapema — at Leaders club.

WANA KAMATI

Maandalizi ya stage maalum kwa ajili ya kumuaga hapo kesho — at Leaders club.

No comments:

KARIBU UTOE MAONI YAKO HAPA

Powered by Blogger.